Saturday, November 14, 2009

ULAJI WA NYOKA AFRIKA MAGHARIBI

KATIKA Mataifa mengi duniani na hasa ya Afrika, Nyoka ameekuwa ni mnyama hatari kwa maisha ya binadamu, lakini kwa jamii moja kwenye ukanda wa Afrika Magharibi hali imekuwa ni tofauti kwa maana wamekuwa wakitegemea ulaji wa nyoka saka wakatio wa kiangazi ambapo wannyama wengine wanakuwa wamepungua.

Zifuatazo ni picha za wanajamii hao wakiwa katika mawindo ya ufatutaji wa mnyama huyo hatari. Hapa wanaonekana wakiwa na Amaconda moja ya nyoka wakubwa na hatari zaidi duniani.
.













0 comments: