This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, December 18, 2009

HII NDIYO IKULU YA MAREKANI WAKATI HUU WA SIKU KUU ZA X-MASS NA MWAKA MPYA











BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YALIYOACHA GUMZO DUNIANI MWAKA 2009


Rais wa Marekani Barack Hussein Obama akila kiapo cha kuwa raia wa 44 wa taifa hilo, akishuhudiwa na mkewe Michelle Obama ambaye alimshikia mumewe Biblia, huku mabinti zake wawili, Malia Obama na Sasha Obama wakishuhudia, tukio hili lilifanyika katika eneo la West Front of the Capitol katika Ikulu ya Washington, DC mnamo Januari 20, mwaka huu 2009. (Picha na Chuck Kennedy-Pool wa IFP).


Vertie Hodge, (74) akilia siku kuapishwa kwa rais Obama, hili lilikuwa ni moja ya matukio makubwa ambayo dunia iliweza kulishuhudia. Katika maelezo yake mwanamama huyo alisema kuwa hilo lilikuwa ni tukio kubwa na lakistoroa katika maisha yake kwania amaamini ndoto za wanaharakati za mwanzoni wa kuwakomboa waafrika kama Dk. Martin Luther King, Jr zitakuwa zimetimia licha ya ukweli kwamba hivi sasa wengi wao wameshafariki dunia.Hii ilikuwa ni Januari 20.


Binti wa mezi 16, Aubrey Melton, akiwa sambamba na mama yake akitoa heshima za mwisho kwa baba yake Larissa, ambaye alifariki akiwa kwenye operasheni za kijeshi nchini Afghanistan. Askari huyo ni moja ya wanajeshi mamia wanaokufa kila wakati nchini Afghanistan kutoka mataifa ya Ulaya, Hii ilikuwa ni Juni 27 katika mji wa Illinois nchini Ujerumani.


Mpiga picha wa shirikka la habari la Ufaransa (AP), Emilio Morenatti akichukua picha baada ya kutua katika Chuo kikuu cha Maryland Medical Center akielekea Kernan Orthopaedics and Rehabilitation Hospital iliyopo mjini Baltimore hii ilikuwa baada ya kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu nchini Afghanistan. Hii ilikuwa ni Jumanne ya Agosti 25.


Askari wa usalama wa nchni Msumbiji wakijaribu kutuliza mashabiki wa soka waliokuwa wanashangilia timu ya taifa hilo wakati ikipambana na Kenya katika michezo wa kuwania kufuzu Kombe la dunia mwakani nchini Afrika Kusini, mechi hiyo ilifanyika jijini Maputo, Septemba 6 mwaka 2009.



Askari jeshi wa China ajimrudisha dirishani binti alioyetaka kumrusha mwanae gorofani ili afe, hata hivyo jaribio hilo lilikwama kutokana na polisi kutata taarifa hizo mapema kabla ya tukio hilo kutokea. Hii ilikuwa ni Julai 7 katika jimbo la Chengdu, Sichuan


Msichana akiwa nje ya nyumba hao ambayo ileharibika kutokana kuwepo kwa kimbungha aina ya Aila katika eneo la Satkhira Kusini Magharibi mwa Bangladesh, Juni 2.


Maafisa wa Polisi wa Iran akipambana na waandamanaji wanaliokuwa wanapinga matokeo ya uchanguzi mkuu wa rais nchi hiyo tukio hilo lilifanyika mjini Tehran, Juni 13.