This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, October 9, 2009

Ambele Chapanyoka atua mbeya

Zifuatazo ni picha mbalimbali za Ambele Chapanyota kabla ya kuoka na baada ya kuokoka.






Muimbaji mahiri wa nyimbo za Injili, Ambele Chapanyota anatarajiwa kuzindua albam yake iitwayo Ni Yesu tu, kazi ambayo inatafaika katika Uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya mapema mwenzi Novemba.

Akizungumza na mtandao huu, Chapanyota alisema kuwa katika wakati huu anatarajia kufanya mambo ya tofauti na ilivyokuwa katika zinduzi zilizopita ikiwemo ile ya jijini Dar es Salaam mwaka jana.

"Natarajia kutoka tofauti safari hii, hii ni kwa sababu nakuja kufanya uzinduzi wangu katika mkoa wa Mbeya ambao ndiyo niliyozaliwa na niaoishi, hivyo wakazi wa hapa walioniomba kufanya hsuala hili" alisema Chapanyota.