This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, May 21, 2010

Tuzo za nyota wa Tanzania zaja

Tuzo maalum kwa watu mbalimbali waliofanya mchango katika jamii ya watanzania zinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwaka huu.

Mjumbe wa kamati ya tuzo hizo zenye heshima kubwa katika jamii ya Watanzania, David Mchome amesema kuwa libeneke hilo linatarajiwa kuchukua nafasi katika jiji la Dar es Salaam Desemba mwaka huu.

"Kila kitu kinakwenda sawa tunarajia kila kitu kitakwenda sawa, hii ni kutokana na ukweli kuwa watu wenye mchango katika jamii yetu wamesahaulika kitu ambacho ni hatari kwa taifa.

Kwa sasa kampuni ya Wazakendo bright media compani, inatarajiwa kufanya shughuli hiyo kwa niaba ya Watanzania wote ili kuifanya jamii iwakumbuke watu wenye majina makubwa katika taifa," alisema Mchome.

MRISHO MPOTO


ANNA KILANGO MALICELA


MRISHO NGASSA


PROF.ANNA TIBAIJUKA


watu wanaotarajiwa kupewa tunzo ni kama ifuatavyo:-

1.Mwanasiasa bora wa mwaka.
2.Mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka.
3.Mwanamuziki bora wa kike wa mwaka.
4.Mwanamuziki bora chipukizi wa mwaka.
5.Mcheza filamu bora wa mwaka.
6.Mcheza filamu bora wa kike wa mwaka.
7.Mwanamichezo bora wa kiume wa mwaka.
8.Mwanamichezo bora wa kike wa mwaka.
9.Mwandishi bora wa michezo wa mwaka.
10.Mtangazaji bora wa mwaka.
11.Muimbaji bora wa kike wa muziki wa injili wa mwaka.
13.Muimbaji bora wa kiume wa muziki wa injili wa mwaka.
14.Filamu bora ya mwaka.
15.wimbo bora wa mwaka.

Naomi linked to blood diamonds

The sample of Diamond


Naomi Campell



Charles Taylor





The Hague - Prosecutors want to subpoena supermodel Naomi Campbell to testify over a so-called blood diamond she allegedly received from Liberia's ex-president Charles Taylor, said court papers filed on Thursday.

"Ms Campbell's testimony is necessary as there is evidence that Ms Campbell was given rough diamonds by the accused (Taylor) in September 1997," said a prosecution motion filed with the Special Court for Sierra Leone.

"Ms Campbell's anticipated evidence concerns 'a central issue' in the case: the accused's possession of rough diamonds," states the document, a copy of which was obtained by AFP.

Taylor's war crimes trial heard claims in January that he had given Campbell a "large" diamond after a 1997 dinner hosted by South African ex-president Nelson Mandela.

The diamond was among those Taylor had obtained from Sierra Leone rebels and took to South Africa "to sell... or exchange them for weapons", prosecutor Brenda Hollis asserted in cross-examining Taylor at the time.

Taylor, on trial since January 2008, denied the claims.

He has pleaded not guilty to 11 counts of war crimes and crimes against humanity stemming from the brutal 1991-2001 civil war in neighbouring Sierra Leone, including charges of murder, rape, conscripting child soldiers, enslavement and pillaging.

Taylor stands accused of having fuelled war in Sierra Leone by arming the rebel Revolutionary United Front (RUF) in exchange for "blood diamonds" - the name given to diamonds mined in rebel-held regions of Africa and sold to fund warfare.

The RUF is blamed for the mutilation of thousands of civilians who had their hands and arms severed in one of the most brutal wars in modern history, which claimed some 120 000 lives.

Saturday, May 15, 2010

Uharibifu wa mazingira yetu











Haya ni maeneo mbalimbali ya mito duniani ambayo yameadhiriwa na idadi kubwa ya watu pamoja na uchafuzi mkubwa wa mazingira.Katika maeneo yote haya hakuna sehemu ya Afrika hata mojoa ila mito hii inapatikana Marekani ya Kaskazini, Ulaya na Asia (China na India).

asante sana mdau Ignas Kanuya popote pale ulipo.