This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, March 3, 2011

Maajabu ya dunia

Baadhi ya wakazi mji wa Kupini and Valle de las Flores districts in La Paz, Bolivia. Heavy rains triggered landslides in the area, leaving two people dead, dozens injured and destroyin


Huyu ni bingwa wa kunanua mdomo je wewe mdauhili unaweza kulihimili?


Mmoja wa Mawaziri wa madini wa Chile akipatizwa katika mto Jordan River uliopo Kaskazini mwa Israel.Maelfu ya watu huzuru nchi hiyo kwa ajili ya ibada ya Hija kila mwaka.



Mmoja wa walinzi wa serikali ya Libya wakipiga saluti mbele ya picha ya Kiongozi wa Libya Canal Muamar Gadafi katika kituo cha ukaguzi kilichopo magharibi wa jiji la Tripil hivi karibuni. Kwa sasa Gadafi yupo kwenye wakati mgumu wa utawala wake akitakiwa kuondoka kwenye nafasi hiyo na wale wanaompinga.



Huu ni mnara mmoja mrefu uliopo mjini San Jose, Costa Rica

Tuesday, March 1, 2011

Gasto Sapula



Gasto Sapula ameingia kwenye mbio za kumtumikia Mungu kwa njia ya uombaji mengi zaidi endelea kufuatilia katika mtandao huu.

Stara Thomas ageukia Mziki wa Injili




Mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya, Stars Thomas hatimaye ameachana na muziki wa kidunia rasmi na kugeukia muziki wa Injili.

Taarifa kutoka kwa muziki huyo zilizotuia hivi karibuni zinaeleza kuwa mwanadada huyo ameamua kuokoka na sasa anamtumikia Bwana.

Stars mama wa watoto wawili aliwahi kutamba tangu mwanzo ni mwa miaka ya 2000 ambapo aliweza kufanya kazi zake mwenyewe na akishirikishwa katika baadhi ya nyimbio.

Miliongoni mwa nyimbo alizowahi kuimba ni pamoja na, Nipo kwa ajili yako huku akishirikishwa kwenye kazi ya Mbunge wa Mbeya mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Mr. Two’ Sugu, iitwayo Sugu.