Sunday, August 7, 2011

Maj. General Silas ' Mti Mkavu' Mayunga Amefariki Dunia




Major General Silas Mayunga (Pichani kushoto) amefariki jana asubuhi katika hospitali ya Apollo - New Delhi
Wakuu taarifa za uhakika nilizopata kutoka nchini India kuwa mpiganaji wetu shupavu na kiongozi mwadirifu, Luteni Gerenali Silas Mayunga hatuko naye tena, amefariki leo katika hospitali ya Apollo New Delhi, India ambako alikuwa amelazwa tangu mwezi, Julai 2011.
Generali Mayunga atakumbukwa kwa mengi kwa jinsi alivyotumikia Taifa letu kwa utumishi uliotukuka, atakumbukwa daima kwa jinsi alivyoongoza mapambano ya vita vya Kagera kumng'oa Nduli Idd Amin.

Mwenyenzi Mungu ailaze roho yake mahali pema. RIP

0 comments: