This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, December 18, 2009

HII NDIYO IKULU YA MAREKANI WAKATI HUU WA SIKU KUU ZA X-MASS NA MWAKA MPYA

...

BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YALIYOACHA GUMZO DUNIANI MWAKA 2009

Rais wa Marekani Barack Hussein Obama akila kiapo cha kuwa raia wa 44 wa taifa hilo, akishuhudiwa na mkewe Michelle Obama ambaye alimshikia mumewe Biblia, huku mabinti zake wawili, Malia Obama na Sasha Obama wakishuhudia, tukio hili lilifanyika katika eneo la West Front of the Capitol katika Ikulu ya Washington, DC mnamo Januari 20, mwaka huu 2009. (Picha na Chuck Kennedy-Pool wa IFP).Vertie Hodge, (74) akilia siku kuapishwa kwa rais Obama, hili...