Update:
Nyumba ya Mkuchika inawaka moto-Newala
Taarifa za
redio mbao sasa ni kwamba wananchi wanaendelea kufanya uharibifu
mkubwa huko ambapo naambiwa wamevamia gereza wakafungulia wafungwa na
kisha kupiga moto gereza. Polisi wamezidiwa na wamejifungia kituoni
wanarusha mabomu yao tokea huko walikojificha maana nje hakutamaniki. Na
wameshateketeza nyumba ya mama Anna Abdallah.
Update:
Kikao cha
dharura cha kamati ya ulinzi na usalama kinaendelea kwa kuwashirikisha
maafisa wa polisi na maafisa usalama waliotoka Dar es Salaam...