Ajali hii ya kutisha ilivyotokea jana majira ya saa 6 wilayani Kahama kwa kuhusisha basi la Super Najimunisa lililokuwa linatoka Bukoba kwenda jijini Dar Es Salaam na kugongana uso kwa uso lori aina ya fuso. Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu 17 pale pale na wengine kibao kujeruhi...