This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, January 30, 2012

Hongera Twiga Stars kutuvisha Nguo

Wachezaji wa Twiga Stars kutoka kushoto ni, Mwanahamisi Omari, Etoe Mlenzi na Pulkaria Charaji wakishangilia ushindi wa timu yao.Kikosi cha timu ya taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na timu ya Namibia wa kufuzu Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (AWC) uliofanyika Jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Twiga Stars imeshinda 5-2. ...

Dk Harrison Mwakyembe,Samwel Sitta, Anne Kilango Malecela na James Lembeli Washiriki Misa Maalum Kanisa La Ufufuo na Uzima Lilopo Kawe Jijini Dar es S

Naibu Waziri Wa Ujenzi Dk Harrison Mwakyembe akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo Jana Waziri wa Afrika Mashariki Mbunge wa Urambo Samwel Sitta na akishuka katika madhabahu mara baada ya kumalizika kwa ibada janaWaziri wa Afrika Mashariki na Mbunge wa Urambo Samwel Sitta akiongea katika ibada hiyo na kumkaribisha Dk Harrison Mwakyembe ili kuzungumza machache na waumini wa kanisa hilo na kutoa ...

Tuesday, January 24, 2012

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) kupitia kitengo chake cha utatuzi wa migogoro (Dispute Resolution Chamber- DRC) limeagiza klabu ya Yanga kumlipa mchezaji John Njoroge sh. 17,159,800 ikiwa ni fidia kwa kuvunja mkataba wake kinyume cha taratibu. Uamuzi huo wa DRC chini ya Jaji Theo van Seggelen ambaye ni raia wa Uholanzi ulifanywa Desemba 7 mwaka jana jijini Zurich, Uswisi na kutumwa TFF kwa njia ya DHL, Januari 17 mwaka huu. Njoroge ambaye ni raia wa Kenya aliwasilisha kesi yake FIFA kupinga Yanga...

Fissoo:Wasanii Zijueni Sheria Za Filamu na Michezo Ya Kuigiza

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Joyce Fissoo akionesha Sheria namba 4 ya mwaka 1976 ya Utengenezaji wa Filamu na Michezo ya Kuigiza kwa waandishi wa habari ambao hawapo pichani wakati akitoa ufafanuzi wa kuhusu sheria hyo kwa vyombo vya vya habari leo jijini Dares Salaam. ----- Benjamin Sawe-Maelezo Dar es Salaam Wasanii wa Filamu na Michezo ya Kuigiza wameshauriwa kuzisoma nyaraka mbalimbali za Bodi ya Filamu ili...