This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday, August 28, 2010

CHADEMA yazindua kampeni zke Jangwani leo

Dr. Willbrod Slaa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)Chama cha cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimezindua kampeni zake za uchaguzi ambapo viongozi mbalimbali wa chama hicho pamoja na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam, walihudhur...

viongozi 10 wazee zaidi duniani

ROBERT MUGABE, 84, president of Zimbabwe, 28 years in powerKING ABDULLAH , 84, king of Saudi Arabia, 12 years in powerGIRIJA PRASAD KOIRALA, 83, prime minister of Nepal, two current years in powerABDOULAYE WADE, 81, president of Senegal, eight years in powerHOSNI MUBARAK, 79, president of Egypt, 26 years in powerSHEIKH SABAH AL AHMAD AL SABAH, 78, emir of Kuwait, five years in powerRAUL CASTRO, 76, president of Cuba, two years in power, including...

Thursday, August 5, 2010

Naomi Campbell kutoa ushahidi dhidi ya Charles Taylor

Mwanamitindo Naomi Campbell, anatarajiwa kutoa ushahidi katika mahakama ya jinai huko the Hague kwenye kesi inayomkabili rais wa zamani wa Liberia Charles Taylor. Bi Campbell inadaiwa alipokea almasi kutoka kwa rais huyo wa zamani kama zawadi mwaka 1997 -- ingawa amekanusha. Bwana Taylor anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kivita katika mahakama maalum kuhusu Sierra Leone huko the Hague, inadaiwa alimkabidhi...

Saturday, July 31, 2010

ajali ya Najmunisa iliyoua 17 hapo hapo jana

Ajali hii ya kutisha ilivyotokea jana majira ya saa 6 wilayani Kahama kwa kuhusisha basi la Super Najimunisa lililokuwa linatoka Bukoba kwenda jijini Dar Es Salaam na kugongana uso kwa uso lori aina ya fuso. Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu 17 pale pale na wengine kibao kujeruhi...

Friday, July 30, 2010

zawadi kwa mgeni

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Batilda Burian akimkabidhi zawadi ya Kinyago, Naibu Waziri wa Mazingira wa Korea Kusini, Jong Soo Yoon mara baada ya mkutano wa ushirikiano kuhusu usimamizi wa mazingira baina ya Serikali ya Korea na Tanzania uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Naura Mjini Arusha....

Saturday, July 10, 2010

ajali ya moto Kongo

Huu ndiyo mkasa wa ajali ya lori lililopinduka na kuuwa zaidi ya watu 200 nchini ...

Friday, July 2, 2010

Neema Kyando alipoagwa

Hatimaye Neema Kyando mzaliwa wa mkoani Iringa, hivi karibuni alifunga pingu za maisha na Jonas Kato, mzaliwa wa mkoani Kagera, ambapo blog ya wazalendo ilitinga katika mnuso wa kumuaga neema yaani Sendoff uliofanyika katika ukumbi wa Makete Inn Maeneo ya Mbezi jijini Dar es Sala...

Tuesday, June 1, 2010

Je unatambua uimara wa Hummer

Gari aina ya Hummer ni miongoni mwa magari ghalia zaidi duniani ambapo pamoja na mambo mengine lakini aina hiyo ya gari imekuwa na sifa nyingine tofauti nayo ni umara na uwezo wake wa kuhimili vishondo hasa kwenye barabara na mazingira magumu. angalia pichja hizi kisha toa maoni yako.Naam haka ndiko kausafiri ke...

Friday, May 21, 2010

Tuzo za nyota wa Tanzania zaja

Tuzo maalum kwa watu mbalimbali waliofanya mchango katika jamii ya watanzania zinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwaka huu.Mjumbe wa kamati ya tuzo hizo zenye heshima kubwa katika jamii ya Watanzania, David Mchome amesema kuwa libeneke hilo linatarajiwa kuchukua nafasi katika jiji la Dar es Salaam Desemba mwaka huu."Kila kitu kinakwenda sawa tunarajia kila kitu kitakwenda sawa, hii ni kutokana na ukweli kuwa watu wenye mchango katika jamii yetu wamesahaulika...

Naomi linked to blood diamonds

The sample of DiamondNaomi CampellCharles TaylorThe Hague - Prosecutors want to subpoena supermodel Naomi Campbell to testify over a so-called blood diamond she allegedly received from Liberia's ex-president Charles Taylor, said court papers filed on Thursday."Ms Campbell's testimony is necessary as there is evidence that Ms Campbell was given rough diamonds by the accused (Taylor) in September 1997," said a prosecution motion filed with the Special...

Saturday, May 15, 2010

Uharibifu wa mazingira yetu

Haya ni maeneo mbalimbali ya mito duniani ambayo yameadhiriwa na idadi kubwa ya watu pamoja na uchafuzi mkubwa wa mazingira.Katika maeneo yote haya hakuna sehemu ya Afrika hata mojoa ila mito hii inapatikana Marekani ya Kaskazini, Ulaya na Asia (China na India).asante sana mdau Ignas Kanuya popote pale uli...