
Watoto Wanne Wanakufa, Familia Moja; Tunafanya Nini?Mwenzetu Bi. Naima Abdalah Besta amekuja na wazo la kuwachangia ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto wanaokufa njaa kila siku. Na mchango wako waweza kuwa hata wa shilingi elfu moja. Na hapa ni taarifa ya michango hadi sasa;
1. Anonymous 100,0002. Anonymous 100,0003.Edwin Namnauka 15,0004. Dennis Tagalile 20,0005.Batamwa...