This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Thursday, July 23, 2009

Ni zamu ya Joshua John Mlelwa kung'ara

(Joshua John Mlelwa akiwa kwenye jukwaa pamoja na Kundi la Kijitonyama Upendo Group katika moja ya matamasha ya Injili yaliyofanya nchini Tanzania.Na Mdau wetuMAKUNDI mengi ya muziki wa Injili nchini Tanzania yamekuwa ni nguzo muhimu katika kulea vipaji vya waimbaji wengi wa muziki huu. Joshua John Mlelwa ni miongoni mwa vipaji vingi hapa nchini vilivyokulia kwenye mikono ya kundi.Kabla ya kutoka kama muimbaji binafsi, Joshua amekuwa kwenye Kundi...

GAMA WAUSHUKIA MUZIKI WA INJILI

MNENDO wa muziki wa Injili kukubalika kwa mashabiki na wapenzi wake kwa sasa unachangiwa na mambo mbalimbali ambayo ni uimbaji, utunzi na utayarishaji ulio bora.Gamaliel Daniel Mwasumbi ni miongoni mwa waimbaji ambao wamewezesha suala la uimbaji Tanzania kubadilika na kuwa wa aina yake kwa kuwa wakati anaanza kazi hii yeye na wenzake, Godwin Gondwe na David Robert waimbaji binafsi walikuwa wachche hivyo kujikuta wakiwa na mzigo wa kuhakikisha injili...

Wednesday, July 22, 2009

mdau Seppy

Mdau Seppy (kushoto) akiwa na mdau mwenzake wakiendeleza libeneke la mikono's. Seppy ni mmoja wa wadau waliopiga nondo pale VOSA SEKONDARI MIAKA ILEE AMBAPO KWA SASA INAJULIKANA KAMA DAR ES SALAAM CHRISTIN SEMINARY, wakati huo kulikuwa na wadau kama Peris Majura, Kakore, Evelin Komu, Grace Sewe Decha kwa sasa ni waifu wa mtu, Hilda Silas naye ameuaga ukapera juzi juzi tu, du! kweli tumetoka mbali naomba tuwasiliane.....

Voda yalamba Bingo

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Dietlof Mare kiasi cha dola za kimarekani milioni 90 na Citi benkire(kushoto) akisaini mkataba wa mkopo waliokopeshwa na CITI benki kiasi cha dola za kimarekani milioni 90.(kulia)Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citi Benki Naveed Riaz.Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Dietlof Mare(kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa CITI Bank Naveed Riaz(kulia) wakibadilishana...

'MABAHARIA' WA MAGUFULI WAPETA

a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" (Watuhumiwa wa uvuvi haramu wakiwa Mahakamani picha kwa hisani ya Global Publishers) Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo imekubali kuwapa dhamana washitakiwa 37 kutoka nchi za China, Vietnam, Japan, Ufilipino na Kenya wanaokabiliwa na mashitaka ya uvuvi haramu katika eneo la bahari ya Tanzania. Akitangaza uamuzi huo mahakamani hapo, Hakimu Mkazi wa mahakama...

Monday, July 20, 2009

Jinsi Maxell alivyotua Barca

Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 st1\:*{behavior:url(#ieooui) } /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan;...