• Home
  • kongamano la katiba
  • TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

UKURASA WA MAAJABU

  • Home
  • Business »
    • Internet
    • Market
    • Stock
  • Downloads »
    • Dvd
    • Games
    • Software »
      • Office
  • Parent Category »
    • Child Category 1 »
      • Sub Child Category 1
      • Sub Child Category 2
      • Sub Child Category 3
    • Child Category 2
    • Child Category 3
    • Child Category 4
  • Featured
  • Health »
    • Childcare
    • Doctors
  • Uncategorized

Wednesday, July 22, 2009

'MABAHARIA' WA MAGUFULI WAPETA

6:52 PM    1 comment


(Watuhumiwa wa uvuvi haramu wakiwa Mahakamani picha kwa hisani ya Global Publishers)

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo imekubali kuwapa dhamana washitakiwa 37 kutoka nchi za China, Vietnam, Japan, Ufilipino na Kenya wanaokabiliwa na mashitaka ya uvuvi haramu katika eneo la bahari ya Tanzania.
Akitangaza uamuzi huo mahakamani hapo, Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo Bi. Walyarwande Lema aliwaondolea pingamizi la dhamana na kuwataka washitakiwa hao kila kundi kufuatana na nchi kuwa na wadhamini wawili wanaotambulika na ubalozi wao na kitita cha dola za Kimarekani 25,000.
Mpaka tunaelekea mitamboni washitakiwa hao walikuwa wakihangaikia kutimiza masharti hayo.

Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Post Older Post Home

1 comments:

Anonymous said...

hawa jamaa wametubia lakini je hawa wanaotuibia raslimali nyingine wanachukuliwa hatua gani?.

July 23, 2009 at 4:52 PM

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
  • Popular
  • Tags
  • Blog Archives
  • BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YALIYOACHA GUMZO DUNIANI MWAKA 2009
    Rais wa Marekani Barack Hussein Obama akila kiapo cha kuwa raia wa 44 wa taifa hilo, akishuhudiwa na mkewe Michelle Obama ambaye alimshikia...
  • ajali ya moto Kongo
    Huu ndiyo mkasa wa ajali ya lori lililopinduka na kuuwa zaidi ya watu 200 nchini DRC
  • ULAJI WA NYOKA AFRIKA MAGHARIBI
    KATIKA Mataifa mengi duniani na hasa ya Afrika, Nyoka ameekuwa ni mnyama hatari kwa maisha ya binadamu, lakini kwa jamii moja kwenye ukanda...
  • Maajabu ya dunia
    Baadhi ya wakazi mji wa Kupini and Valle de las Flores districts in La Paz, Bolivia. Heavy rains triggered landslides in the area, leaving ...
  • nyoka ameza binadamu
    Katika nchi ya Ufilipino, hivi karibuni jamaa mmoja alifariki dunia baada ya kushambuliwa na nyoka kisha kumezwa mzima mzima na kufanya du...
  • Ni zamu ya Joshua John Mlelwa kung'ara
    (Joshua John Mlelwa akiwa kwenye jukwaa pamoja na Kundi la Kijitonyama Upendo Group katika moja ya matamasha ya Injili yaliyofanya nchini Ta...
  • Maj. General Silas ' Mti Mkavu' Mayunga Amefariki Dunia
    Major General Silas Mayunga (Pichani kushoto) amefariki jana asubuhi katika hospitali ya Apollo - New Delhi Wakuu taarifa za uhakika nilizop...
  • Ambele Chapanyoka atua mbeya
    Zifuatazo ni picha mbalimbali za Ambele Chapanyota kabla ya kuoka na baada ya kuokoka. Muimbaji mahiri wa nyimbo za Injili, Ambele Chapanyot...
  • WADAU WA PSPF WAONESHWA NYUMBA ZA MKOPO ZILIZOPO BUYUNI CHANIKA
      Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Adam Mayingu akizungumza na waandishi wa habari wakati ...
  • KAMISAA WA SIMBA AUMIA, TFF YAMUENGUA LIGI KUU KWA KUWASILISHA RIPOTI YA POTOFU YA MCHEZO
    Na Mahmoud Zubeiry KAMATI ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanza...

Labels

  • tanzaniacelebrity (1)
  • tanzaniacelebrity.com (3)
  • www.tanzaniacelebrity.com (6)
  • www.tzcelebrity.com (1)

Blog Archive

  • ►  2013 (4)
    • ►  February (2)
    • ►  January (2)
  • ►  2012 (121)
    • ►  December (3)
    • ►  November (7)
    • ►  October (29)
    • ►  September (40)
    • ►  July (14)
    • ►  June (12)
    • ►  February (12)
    • ►  January (4)
  • ►  2011 (18)
    • ►  October (1)
    • ►  September (1)
    • ►  August (8)
    • ►  July (1)
    • ►  June (1)
    • ►  March (3)
    • ►  February (3)
  • ►  2010 (11)
    • ►  August (3)
    • ►  July (4)
    • ►  June (1)
    • ►  May (3)
  • ▼  2009 (16)
    • ►  December (2)
    • ►  November (5)
    • ►  October (1)
    • ▼  July (6)
      • Ni zamu ya Joshua John Mlelwa kung'ara
      • GAMA WAUSHUKIA MUZIKI WA INJILI
      • mdau Seppy
      • Voda yalamba Bingo
      • 'MABAHARIA' WA MAGUFULI WAPETA
      • Jinsi Maxell alivyotua Barca
    • ►  February (2)
  • ►  2008 (3)
    • ►  August (3)

BLOG NA MITANDAO MBALIMBALI

HUU NI UKURASA MAALUM KWA AJILI YAKO MDAU WA MDANDAO HUU WA KIJAMII. HAKIKA TUMEDHAMIRIA KUKUPA HUDUMA BORA ZINAZOENDANA NA WAKATI HUU WA DIGITALI.

 
  • Blogger news

  • Blogroll

Copyright © 2025 UKURASA WA MAAJABU