This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Tuesday, July 31, 2012

mashabiki kupiga kura kura hapa

Mashabiki wa soka kuanzia leo wanaweza kupiga kura kumchagua mchezaji bora wa mwaka 2012. Utaribu wa kupiga kura ni kwamba, unatakiwa kuingia kwenye mtandao huu au blong nyingine ikiwemo fullshangwe, issamichuzi, jiachie,sportslady, kingkif, janejohn5,bongostarz pamoja, twitter na face book. ...

Man Utd yachafuka fedha

Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 st1\:*{behavior:url(#ieooui) } /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; ...

Sunday, July 29, 2012

wazalendo best footballer of the year

...

Wednesday, July 18, 2012

BREAKING NEEEEEWZ!!! BOT YA SEA GAL INAZAMA KLM CHACHE KUTOKA UNGUJA

Habari zilizoufikia mtandao huu wa www.sufianimafoto.blogspot.com, zinasema kuwa Boti ya Sea Gal, inazama katika moja kisiwa kilicho karibu na kilometa chache kutoka Kisiwa cha Unguja, hivi sasa tayari Boti  tatu za Kilimanjaro zimefika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada wa kuokoa watu mahala hapo. Lakini habari zisizothibitihswa mpaka sasa zinasema kuwa wengine kati ya waliopo eneo hilo wanasema kuwa boti hiyo inawaka moto na wengine wakisema kuwa inazama....

Leo ni siku ya kuzaliwa Mzee Nelson Mandela

Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton akimtembelea Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela nyumbani kwake Qunu, katika picha hii iliyopigwa jana (Julai 17, 2012). Mandela anasherehekea kutimiza umri wa miaka 94 leo Julai 18. Picha: REUTER...

MinistrIKULU:Rais Jakaya Kikwete Akutana na Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia Duniani,H.H. Karim Aga Khan

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza  Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo na baadaye chakula cha mchana.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na  Mkuu wa madhehebu ya Shia Ismailia duniani,H.H. Karim Aga Khan, wakati alipomkaribisha Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo na baadaye ...

Thursday, July 5, 2012

MELI ZA IRANI KUFUTWA NCHINI?

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kushoto) akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu sakata la baadhi ya meli za Irani zinazodaiwa kupeperusha Bendera ya Taifa ya Tanzania katika Bahari ya Hindi. Kulia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, John Haule. (PICHA KWA HISANI YA RICHARD MWAIKENDA) ...

RAIS KIKWETE AONGOZA BAARZA LA MAWAZIRI DODOMA LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea jambo na baadhi ya mawaziri na viongozi waandamizi serikalini  baada ya kuongoza kikao cha Baraza la Mawaziri leo July 5, 2012 katika ukumbi wa TAMISEMI Dodoma.   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha  Baraza la Mawaziri leo July 5, 2012 katika ukumbi wa TAMISEMI Dodoma. PICHA KWA HISANI YA OFISI YA WAZIRI MKUU...

WAKAZI 8000 WAFAIDIKA NA HUDUMA ZA BENKI YA DUNIA, MKOA WA RUKWA

Diwani kata ya MWIMBI wilaya MPYA ya KALAMBO Mkoa wa Rukwa Leonard Shalamwana (wa tatu kulia)akimuonesha Mkuu wa wilaya Moshi Mussa Chang'a(wa tatu kushoto) chanzo cha Mradi wa maji utakaogharimu zaidi ya shilingi milioni 158.3 na kunufaisha takribani wakazi 8,000. Mradi huo unadhaminiwa na benki ya dunia, wananchi pamoja na mfuko wa maendeleo wa jimbo la Kalambo. Wengine kutoka kushoto ni Mratibu wa Miradi ya TASAF wilaya John Kiondo...

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA NA BUNGENI LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisikiliza swali kutoka kwa kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe katika kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Mjini Dodoma  Julai 6,2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongokwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 6, 2012.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na...

AJISHINDIA JENERETA YA VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO

Bw Salvatory Herald wa pili kutoka kushoto alipongezwa na ndugu jamaa na marafiki pamoja baadhi ya wakazi wa tanga waliohudhuria katika hafla fupi ya kukabidhiwa zawadi ya jenereta mpya aliojishindia kupitia promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO NA SBL, inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti hapa nchini. Picha 03 ni bw Salvatory akieleza hisia zake baada ya kukabidhiwa jenereta kutoka sbl. Meneja masoko...

Okwi mali halali ya Simba, akana kwenda Yanga

Kaburu akiwaonyesha Waandishi mkataba wa Okwi na Simba  Mkataba wa Okwi na Simba Vipengele hapo Kaburu akizungumza na Waandishi wa Habari Kaburu akiwasikiliza sauti ya Okwi waandishi Hapa anafafanua jamb...

Monday, July 2, 2012

Uzalendo wawakimbiza Wataalamu Zanzibar

Habari zote na Juma Mohammed, MAELEZO Zanzibar Kukosekana kwa uzalendo na tama ya kipato kikubwa kumetajwa kuwa sababu ya ya baadhi ya wananchi wataalam kuacha kazi Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kukimbilia ughaibuni. Akijibu swali katika Baraza la Wawakilishi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Haji Omar Kheri alikiri kuwepo kwa tatizo la wataalam wa kizalendo kuondoka nchini kwa kutafuta...

MANJI AZUA 'BALAA' TFF, UCHAGUZI YANGA WAINGIA KIZA

Manji anaondoka TFF, umati ukimsindikiza Sura za huzuni; wanachama wakisikitika nje ya ofisi za TFF Wanachama wakisikitikia pingamizi la Manji Ni huzuni tupu Hakuna anayufurahia  Kila mtu ana hasira Yaani watu wamekasirika ile mbaya Hadi akina mama wana hasira pia Manji anatoka chumba cha mahojiano Anaziacha ofisi za TFF Anapotea Anawasalimu wazee Anajadiliana na wazee Umati unamsindikiza Anafunguliwa...