Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa tatu kulia) akiwa na ujumbe
wake wakipata maelezo walipotembela katika mabwawa ya ufugaji wa Samaki
katika Chuo cha Uvuvi wa Samaki na ufugaji katika jimbo la Quang
Ninh Mjini Halong nchini Vietnam,akiwa katika Ziara ya kiserikali
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipowasili katika Chuo
cha...