Wednesday, July 22, 2009

Voda yalamba Bingo



Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Dietlof Mare kiasi cha dola za kimarekani milioni 90 na Citi benkire(kushoto) akisaini mkataba wa mkopo waliokopeshwa na CITI benki kiasi cha dola za kimarekani milioni 90.(kulia)Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citi Benki Naveed Riaz.



Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Dietlof Mare(kushoto) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa CITI Bank Naveed Riaz(kulia) wakibadilishana nyaraka za makubaliano ya mkopo baada ya CITI Bank kuikopesha Kampuni Vodacom Jijini Dar es Salaam.(Picha kwa hisani ya BLOG YA FULLSHANGWE)

0 comments: