This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday, August 28, 2010

CHADEMA yazindua kampeni zke Jangwani leo



Dr. Willbrod Slaa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Chama cha cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimezindua kampeni zake za uchaguzi ambapo viongozi mbalimbali wa chama hicho pamoja na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam, walihudhuria.

viongozi 10 wazee zaidi duniani

ROBERT MUGABE, 84, president of Zimbabwe, 28 years in power
KING ABDULLAH , 84, king of Saudi Arabia, 12 years in power
GIRIJA PRASAD KOIRALA, 83, prime minister of Nepal, two current years in power
ABDOULAYE WADE, 81, president of Senegal, eight years in power
HOSNI MUBARAK, 79, president of Egypt, 26 years in power
SHEIKH SABAH AL AHMAD AL SABAH, 78, emir of Kuwait, five years in power
RAUL CASTRO, 76, president of Cuba, two years in power, including unofficially
MWAI KIBAKI, 76, president of Kenya, five years in power
MANMOHAN SINGH, 75, prime minister of India, four years in power
THAN SHWE, 75, chair of Burma's military junta, 16 years in power

Thursday, August 5, 2010

Naomi Campbell kutoa ushahidi dhidi ya Charles Taylor

Mwanamitindo Naomi Campbell, anatarajiwa kutoa ushahidi katika mahakama ya jinai huko the Hague kwenye kesi inayomkabili rais wa zamani wa Liberia Charles Taylor.

Bi Campbell inadaiwa alipokea almasi kutoka kwa rais huyo wa zamani kama zawadi mwaka 1997 -- ingawa amekanusha.

Bwana Taylor anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kivita katika mahakama maalum kuhusu Sierra Leone huko the Hague, inadaiwa alimkabidhi Bi Campbell almasi kama zawadi mnamo mwaka huo akiwa nchini Afrika kusini kwa mwaliko wa rais mstaafu Nelson Mandela.

Hata hivyo Taylor amekanusha madai hayo na ndio sababu kuu ya bi Campbell kutakiwa kutoa ushahidi katika kesi hiyo.

Madai hayo pia yamesemekana kuwa sababu ya kesi dhidi ya Yaylor kwa vitendo vyake, wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe katika nchi jirani ya Sierra Leone.

Upande wa mashtaka ungetaka kuthibitisha kuwa bwana Taylor alihusika katika biashara ya kubadilishana silaha na kupewa Almasi zilizopatikana kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sierra Leone.

Saturday, July 31, 2010

ajali ya Najmunisa iliyoua 17 hapo hapo jana



Ajali hii ya kutisha ilivyotokea jana majira ya saa 6 wilayani Kahama kwa kuhusisha basi la Super Najimunisa lililokuwa linatoka Bukoba kwenda jijini Dar Es Salaam na kugongana uso kwa uso lori aina ya fuso. Ajali hiyo ilisababisha vifo vya watu 17 pale pale na wengine kibao kujeruhiwa.

Friday, July 30, 2010

zawadi kwa mgeni


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Batilda Burian akimkabidhi zawadi ya Kinyago, Naibu Waziri wa Mazingira wa Korea Kusini, Jong Soo Yoon mara baada ya mkutano wa ushirikiano kuhusu usimamizi wa mazingira baina ya Serikali ya Korea na Tanzania uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Naura Mjini Arusha.

Saturday, July 10, 2010

ajali ya moto Kongo


Huu ndiyo mkasa wa ajali ya lori lililopinduka na kuuwa zaidi ya watu 200 nchini DRC


Friday, July 2, 2010

Neema Kyando alipoagwa

Hatimaye Neema Kyando mzaliwa wa mkoani Iringa, hivi karibuni alifunga pingu za maisha na Jonas Kato, mzaliwa wa mkoani Kagera, ambapo blog ya wazalendo ilitinga katika mnuso wa kumuaga neema yaani Sendoff uliofanyika katika ukumbi wa Makete Inn Maeneo ya Mbezi jijini Dar es Salaam.

Tuesday, June 1, 2010

Je unatambua uimara wa Hummer

Gari aina ya Hummer ni miongoni mwa magari ghalia zaidi duniani ambapo pamoja na mambo mengine lakini aina hiyo ya gari imekuwa na sifa nyingine tofauti nayo ni umara na uwezo wake wa kuhimili vishondo hasa kwenye barabara na mazingira magumu. angalia pichja hizi kisha toa maoni yako.







Naam haka ndiko kausafiri ketu.

Friday, May 21, 2010

Tuzo za nyota wa Tanzania zaja

Tuzo maalum kwa watu mbalimbali waliofanya mchango katika jamii ya watanzania zinatarajiwa kutolewa mwishoni mwa mwaka huu.

Mjumbe wa kamati ya tuzo hizo zenye heshima kubwa katika jamii ya Watanzania, David Mchome amesema kuwa libeneke hilo linatarajiwa kuchukua nafasi katika jiji la Dar es Salaam Desemba mwaka huu.

"Kila kitu kinakwenda sawa tunarajia kila kitu kitakwenda sawa, hii ni kutokana na ukweli kuwa watu wenye mchango katika jamii yetu wamesahaulika kitu ambacho ni hatari kwa taifa.

Kwa sasa kampuni ya Wazakendo bright media compani, inatarajiwa kufanya shughuli hiyo kwa niaba ya Watanzania wote ili kuifanya jamii iwakumbuke watu wenye majina makubwa katika taifa," alisema Mchome.

MRISHO MPOTO


ANNA KILANGO MALICELA


MRISHO NGASSA


PROF.ANNA TIBAIJUKA


watu wanaotarajiwa kupewa tunzo ni kama ifuatavyo:-

1.Mwanasiasa bora wa mwaka.
2.Mwanamuziki bora wa kiume wa mwaka.
3.Mwanamuziki bora wa kike wa mwaka.
4.Mwanamuziki bora chipukizi wa mwaka.
5.Mcheza filamu bora wa mwaka.
6.Mcheza filamu bora wa kike wa mwaka.
7.Mwanamichezo bora wa kiume wa mwaka.
8.Mwanamichezo bora wa kike wa mwaka.
9.Mwandishi bora wa michezo wa mwaka.
10.Mtangazaji bora wa mwaka.
11.Muimbaji bora wa kike wa muziki wa injili wa mwaka.
13.Muimbaji bora wa kiume wa muziki wa injili wa mwaka.
14.Filamu bora ya mwaka.
15.wimbo bora wa mwaka.

Naomi linked to blood diamonds

The sample of Diamond


Naomi Campell



Charles Taylor





The Hague - Prosecutors want to subpoena supermodel Naomi Campbell to testify over a so-called blood diamond she allegedly received from Liberia's ex-president Charles Taylor, said court papers filed on Thursday.

"Ms Campbell's testimony is necessary as there is evidence that Ms Campbell was given rough diamonds by the accused (Taylor) in September 1997," said a prosecution motion filed with the Special Court for Sierra Leone.

"Ms Campbell's anticipated evidence concerns 'a central issue' in the case: the accused's possession of rough diamonds," states the document, a copy of which was obtained by AFP.

Taylor's war crimes trial heard claims in January that he had given Campbell a "large" diamond after a 1997 dinner hosted by South African ex-president Nelson Mandela.

The diamond was among those Taylor had obtained from Sierra Leone rebels and took to South Africa "to sell... or exchange them for weapons", prosecutor Brenda Hollis asserted in cross-examining Taylor at the time.

Taylor, on trial since January 2008, denied the claims.

He has pleaded not guilty to 11 counts of war crimes and crimes against humanity stemming from the brutal 1991-2001 civil war in neighbouring Sierra Leone, including charges of murder, rape, conscripting child soldiers, enslavement and pillaging.

Taylor stands accused of having fuelled war in Sierra Leone by arming the rebel Revolutionary United Front (RUF) in exchange for "blood diamonds" - the name given to diamonds mined in rebel-held regions of Africa and sold to fund warfare.

The RUF is blamed for the mutilation of thousands of civilians who had their hands and arms severed in one of the most brutal wars in modern history, which claimed some 120 000 lives.

Saturday, May 15, 2010

Uharibifu wa mazingira yetu











Haya ni maeneo mbalimbali ya mito duniani ambayo yameadhiriwa na idadi kubwa ya watu pamoja na uchafuzi mkubwa wa mazingira.Katika maeneo yote haya hakuna sehemu ya Afrika hata mojoa ila mito hii inapatikana Marekani ya Kaskazini, Ulaya na Asia (China na India).

asante sana mdau Ignas Kanuya popote pale ulipo.