Friday, July 30, 2010

zawadi kwa mgeni


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Batilda Burian akimkabidhi zawadi ya Kinyago, Naibu Waziri wa Mazingira wa Korea Kusini, Jong Soo Yoon mara baada ya mkutano wa ushirikiano kuhusu usimamizi wa mazingira baina ya Serikali ya Korea na Tanzania uliofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Naura Mjini Arusha.

0 comments: