Friday, August 26, 2011

Baa La Njaa Somalia; Orodha Ya Waliochangia Na Jumla Iliyopatikana Hadi Sasa....




Watoto Wanne Wanakufa, Familia Moja; Tunafanya Nini?
Mwenzetu Bi. Naima Abdalah Besta amekuja na wazo la kuwachangia ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto wanaokufa njaa kila siku. Na mchango wako waweza kuwa hata wa shilingi elfu moja. Na hapa ni taarifa ya michango hadi sasa;


1. Anonymous 100,000
2. Anonymous 100,000
3.Edwin Namnauka 15,000
4. Dennis Tagalile 20,000
5.Batamwa Rwamugila 5,000
6.Joyce Mpangile 5,000
7. Humphrey Mutakyawa 10,000
8. Dr. Bukaza Chachage 10, 000
9. Fidelis Msigwa 10,000
10.Sagisto Amon 24,500
11.Omari Mzirai 10,000
12. Anonimous 10,000
13. J. J Dickson 34,750
14. Priscula Mushi 30,000
15. David Kafulila 160,000
16. Salum Maleta 10,000
17. Zitto Kabwe 250,000
18. Ephraem Madembwe 10,000
19. Sarafina Hossa 10,000
20. Fullshangweblog 20,000
21. Chibiriti 20,000
22.Joseph Rwezahura 5,000
23. Joseph Ludovic 5,000
24.Godwin Mbwiga 21,000
25.Wenge Swill 5,000
26.Brown Mwashimaha 5,000
27. Mrisho Mpoto (Mjomba) 50,000
28. Ausy Francis 15,000
29. Sigisto Simba 29,750,00
30. Anonimous 155,622, 78
31. Anonimous 20,000
32. Hamisi Omari 10,000
33. Nelson Bisigoro 15,000

Jumla iliyopatikana hadi sasa ni; 1,200,622, 78 (Shilingi Milioni Moja, laki mbili na mia sita na ishirini na mbili na senti sabini na nane )

Bado tunaendelea kukusanya michango yenu...
Na hapa ni taarifa husika; Zaidi ya watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa katika nchi 3 za Afrika Mashariki. Watoto zaidi ya milioni mbili wako katika hali mbaya. Watoto laki 5 wamekumbwa na utapia mlo mbaya unaohatarisha maisha yao. Kati yao watoto zaidi ya 10 hufa kila siku.

Kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani, shirika hilo linahitaji Dola za Kimarekani milioni themanini hadi kufikia mwisho wa mwaka huu ili liweze kufanikisha kazi ya kuokoa maisha ya ndugu zetu wa Somalia na hususan watoto.

Tulio tayari tusaidie kwa kuchangia kwa ajili ya watoto hao waliokumbwa na janga la njaa huko Somalia. Michango hiyo itakapopatikana itapelekwa moja kwa moja Red Cross Dar es Salaam ili baadae iwafikie walengwa.


Changia kwa kutuma kwa M-PESA 0754 678 252 Au TIGO PESA; 0712 95 61 31, ZAP 0788 111 765 ( Maggid Mjengwa) Au NMB- PESA-FASTA- 0754 678 252 ( Ukituma kwa NMB- PESA-FASTA unijulishe kwa ujumbe ili nipate nr ya simu ya mtumaji ambaye atakuwa na namba za siri za kutolea pesa)

Au ukitaka unaweza pia kutuma moja kwa moja kwenye Account Number:

01j2070759000 ( CRDB, Iringa) Jina, Maggid j. Mjengwa

Anayechangia kwa njia ya benki anijulishe kwa email au sms.
Au kwa Western Union, Maggid Mjengwa, Iringa. ( Atumaye anijulishe pia)


Namna nyingine rahisi ya kuchangia? Wasiliana na;


mjengwamaggid@gmail.com au sms; +255 754 678 252, Plus 255 712 95 61 31
Utapata maelezo ya njia rahisi ya kutuma mchango wako.

Mwisho wa kukusanya michango ni Septemba 11, 2011. Baada ya hapo tutaweka orodha ya majina na kiasi kilichochangwa kwenye Mjengwablog (http://mjengwa.blogspot.com/) na iwapo hutataka jina lako liwemo kwenye orodha, basi, utatambulika kama 'anonimous'.

Wahenga walinena; kutoa ni moyo, usambe ni utajiri.

Wenu,

Maggid Mjengwa

Mratibu wa Michango

0 comments: