Saturday, November 28, 2009

NONDOZZZZZZZ



Ilikuwa siku ya furaha kwa Mdau SARAH ERASTO LUSHU (KULIA) baada ya kutunukiwa Stashahada ya Juu ya Uhasibu kutoka Chuo cha Usimamizi wa fedha (IFM) jijini Dar wa Salaam, Ijumaa iliyopita.

Pembeni yake ni mhitimu mwenzake, JANE ZACHWA ambaye yeye katunukiwa Stashada ya juu ya Kodi, kutoka Chuo hicho hicho.Gazeti ndatu hili (Blog) ya wanajamii inawapa hongera kwa maana huo ndiyo ukubwa, ila ongozeni juhudi katika kupata nondo nyingine zaidi.

0 comments: