Saturday, November 21, 2009

RAYMOND JACKSON ALONGA BIASHARA YA MUZIKI WA INJILI



Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Raymond Jackson (PICHANI JUU) amewataka waimbaji wenzake wa nyimbo za Injili kuachana na kuufanya muziki huo kuwa wa biashara ila wafanye kwa ajili ya kulitangaza jina la Yesu Kristo.

0 comments: