This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Saturday, November 28, 2009

NONDOZZZZZZZ



Ilikuwa siku ya furaha kwa Mdau SARAH ERASTO LUSHU (KULIA) baada ya kutunukiwa Stashahada ya Juu ya Uhasibu kutoka Chuo cha Usimamizi wa fedha (IFM) jijini Dar wa Salaam, Ijumaa iliyopita.

Pembeni yake ni mhitimu mwenzake, JANE ZACHWA ambaye yeye katunukiwa Stashada ya juu ya Kodi, kutoka Chuo hicho hicho.Gazeti ndatu hili (Blog) ya wanajamii inawapa hongera kwa maana huo ndiyo ukubwa, ila ongozeni juhudi katika kupata nondo nyingine zaidi.

Monday, November 23, 2009

LIBENEKE LA FISI AFRIKA YA KATI

AMA KWELI UKISTAAJABU YA MUSA UTAYAONA YA FIRAUNI. Wahenga naamini kwamba hawakukusea kusema msemo huu kwa maama katika nchi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati, kumeibuka kundi la vijana wanaofuga Fisi na Nyani kwa kama sehemu ya kujipatia kipato kwa watu na wageni kutoka mataifa mengine ambao wanashangaa aina hiyo mpya ya maisha, hasa kwa hapa Afrika.









Saturday, November 21, 2009

Sarah Mvungi sasa ni Desemba 13



Muimbaji wa nyimbo za Injili nchini Sarah Mvungi hivi sasa yupo kwenye mikakati ya mwishomwisho ya kutoka na albam yake ya kwanza iitwayo Yesu Asante.

Akizungumza na safu hii, Mvungi alieleza kuwa kila kitu kipo sawa na uzinduzi huo utafanyika kwenye Kanisa la Christin Fellowship Sinza jijini Dar es Salaam.

RAYMOND JACKSON ALONGA BIASHARA YA MUZIKI WA INJILI



Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania Raymond Jackson (PICHANI JUU) amewataka waimbaji wenzake wa nyimbo za Injili kuachana na kuufanya muziki huo kuwa wa biashara ila wafanye kwa ajili ya kulitangaza jina la Yesu Kristo.

Saturday, November 14, 2009

ULAJI WA NYOKA AFRIKA MAGHARIBI

KATIKA Mataifa mengi duniani na hasa ya Afrika, Nyoka ameekuwa ni mnyama hatari kwa maisha ya binadamu, lakini kwa jamii moja kwenye ukanda wa Afrika Magharibi hali imekuwa ni tofauti kwa maana wamekuwa wakitegemea ulaji wa nyoka saka wakatio wa kiangazi ambapo wannyama wengine wanakuwa wamepungua.

Zifuatazo ni picha za wanajamii hao wakiwa katika mawindo ya ufatutaji wa mnyama huyo hatari. Hapa wanaonekana wakiwa na Amaconda moja ya nyoka wakubwa na hatari zaidi duniani.
.