Saturday, May 15, 2010

Uharibifu wa mazingira yetu











Haya ni maeneo mbalimbali ya mito duniani ambayo yameadhiriwa na idadi kubwa ya watu pamoja na uchafuzi mkubwa wa mazingira.Katika maeneo yote haya hakuna sehemu ya Afrika hata mojoa ila mito hii inapatikana Marekani ya Kaskazini, Ulaya na Asia (China na India).

asante sana mdau Ignas Kanuya popote pale ulipo.

0 comments: