Saturday, February 19, 2011

RAIS WA RBP GROUP ASAIDIA AMANA



Rais wa Kampuni ya RBP Group Rahma Al- Kharoos akikabidhi msaada wa chakula kwa mzazi Honoela Lucas katika wodi ya wazazi kwenye hospitali ya Amana leo ambapo katika kukabidhi msaada huo aliongozana na warembo wanaoshiriki katika shindano la Kisura ambalo linatarajiwa kufanyika tarehe 12 machi mwaka huu jijini Dar es salaam katika picha kulia ni mmoja wa washiriki wa shindano la Kisura.




Rais wa Kampuni ya RBP Group Rahma Al- Kharoos kushoto akiongozana na mwandaaji wa shindano la Kisura Jully wakati walipowasili hospitali ya Amana leo.

0 comments: