This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, October 26, 2012

Press Release

Normal 0 false false false MicrosoftInternetExplorer4 /* Style Definitions */ table.MsoNormalTable {mso-style-name:"Table Normal"; mso-tstyle-rowband-size:0; mso-tstyle-colband-size:0; mso-style-noshow:yes; mso-style-parent:""; mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt; mso-para-margin:0in; mso-para-margin-bottom:.0001pt; mso-pagination:widow-orphan; font-size:10.0pt; font-family:"Times...

Sunday, October 21, 2012

YANGA HIYOO NAFASI YA 3 BAADA YA KUIFUNGA RUVU SHOOTING 3-2

TIMU ya Yanga jana ilishinda 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Ushindi huu unaifanya Yanga ifikishe pointi 14, baada ya kucheza michezo nane na kujiweka katika nafasi ya tatu huku ikizidwa pointi tatu na Azam inayoshika nafasi ya pili na pointi nne na wapinzani wao wa jadi Simba inayoongoza ligi hiyo.Kipindi cha kwanza kilimalizika kwa timu zote kutoshana nguvu...

YANGA YAKABIDHIWA JEZI YENYE NEMBO YA MDHAMINI WALIYOITAKA

Meneja Mahusiano ya Nje wa kampuni ya Sima za mkononi VODACOM, Salum Mwalimu akionesha jezi walizokabidhi kwa klabu ya Yanga zikiwa na doa jeusi.  Kaimu Katibu Mkuu wa Yanga, Laurence Mwalusako (kati) akipokea jezi walizokabidhiwa na Vodacom zikiwa na doa jeusi kutoka kwa Meneja Mahusiano ya Nje wa kampuni ya Sima za mkononi VODACOM, Salum Mwalimu (kushoto). Kulia ni Ofisa Udhamini wa kampuni hiyo, Ibrahim Kaude ...

Friday, October 19, 2012

KAMATI YA UCHAGUZI YA TFF

  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI   MAAMUZI KUHUSU  RUFAA DHIDI YA MAAMUZI YA KAMATI ZA UCHAGUZI VYAMA VYA MPIRA WA MIGUU MKOA WA MBEYA (MREFA), MKOA WA SHINYANGA (SHIREFA) NA MKOA WA DAR ES SALAAA (DRFA).   19 OKTOBA 2012     1.                   Kwa mujibu wa Katiba ya TFF Ibara ya 49(1), Kanuni za Uchaguzi  za wanachama wa TFF, Ibara  ya  10(6), 12(1) na 26(2) na (3), Kamati ya Uchaguzi...

YANGA, SHOOTING SASA KUCHEZA TAIFA

Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na Ruvu Shooting uliopangwa kuchezwa kesho (Oktoba 20 mwaka huu) Uwanja wa Chamazi sasa umehamishiwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10.15 jioni.   Mabadiliko hayo yamefanyika kutokana na maombi ya timu hizo mbili kutaka mechi ichezwe Uwanja wa Taifa kutokana na sababu mbalimbali ambazo zimeridhiwa na Kamati ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ikiwemo siku hiyo uwanja huo kutokuwa na mechi.   Viingilio katika...

Thursday, October 18, 2012

SIMBA NA KAGERA HAKUNA MBABE

TIMU ya Simba jana ilitoka sare ya 2-2 na Kagera Sugar katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Kwa matokeo hayo, Simba imefikisha pointi 18 na kuendelea kuongoza Ligi Kuu, kutokana na Azam FC kulazimishwa sare ya bila kufungana na Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Hadi mapumziko, Simba SC walikuwa mbele kwa bao 1-0, lililotiwa kimiani na mshambuliaji wa kimataifa...

Tuesday, October 16, 2012

SIMBA YAANZIA RAUNDI YA NANE NA KAGERA SUGAR

Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi nane kesho (Oktoba 17 mwaka huu) kwa mechi tano huku vinara wa ligi hiyo Simba wakiialika Kagera Sugar kutoka mkoani Kagera kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.   Mechi hiyo namba 52 itachezeshwa na mwamuzi Ronald Swai kutoka Arusha wakati waamuzi wasaidizi ni Julius Kasitu na Methusela Musebula, wote kutoka Shinyanga. Mwamuzi wa akiba ni Ephrony Ndisa wa Dar es Salaam huku mtathimini wa waamuzi akiwa Charles Mchau kutoka Moshi.   Uwanja wa Kumbukumbu...

TAFCA YAONGEZA MUDA WA KUCHUKUA FOMU

Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Makocha wa Mpira wa Miguu Tanzania (TAFCA) imeongeza muda kwa wagombea kuchukua fomu kwa ajili ya uchaguzi wa chama hicho ambao sasa utafanyika Novemba 25 mwaka huu.   Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TAFCA, Ramadhan Mambosasa, jana ndiyo ilikuwa mwisho wa kuchukua fomu lakini mwitikio wa wagombea bado umekuwa mdogo ambapo ni watano tu waliojitokeza.   Hivyo, amesema wameongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu ambapo mwisho itakuwa ni Oktoba 19 mwaka huu saa 10 kamili...

DARAJA LA KWANZA KUANZA OCTOBA 24

Michuano ya Ligi Daraja la Kwanza (FDL) ya Tanzania Bara inaanza rasmi Oktoba 24 mwaka huu kwa timu 18 kati ya 24 kujitupa kwenye viwanja tisa tofauti katika ligi hiyo inayochezwa kwa mtindo wa nyumbani na ugenini.   Mechi za raundi ya kwanza za kundi A zitakazochezwa Oktoba 24 mwaka huu ni Burkina Faso dhidi ya Mbeya City (Jamhuri, Morogoro), Mlale JKT na Small Kids (Majimaji, Songea) na Kurugenzi Mufindi dhidi ya Majimaji (Uwanja wa Wambi, Mufindi mkoani Iringa).   Mkamba Rangers na Polisi Iringa zitakamilisha raundi...

Monday, October 15, 2012

HASANOO NA KABURU WAULA PWANI

HASSAN Othman Hassan amechaguliwa tena kuwa mwenyekiti wa Chama cha Soka Pwani (COREFA) huku nafasi ya katibu ikirudi tena kwa  Riziki Majala. Naye Geofrey Irick Nyange amechaguliwa kuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu TF, Juma Haruna Kisoma Mwakilishi wa Klabu TFF na Abubakar Allawi  amechaguliwa kuwa Mhazini. Waliochaguliwa kuwa Wajumbe wa Kamati ya Utendaji katika uchaguzi huo uliofanyika kisiwani Mafia ni Musa Bakari Athumani, Godfrey Magnus Haule na Gwamaka Oden Mlagila na mwakilishi wa Wanawake ni Florence Ambonisye. Akiongea...

13 WAPITISHWA KUGOMBEA TWFA

WAGOMBEA 13 kati ya 15 waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye Chama cha Soka la Wanawake Tanzania (TWFA) wamepitishwa baada ya usaili uliofanyika juzi.Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TWFA, Ombeni Zavala, waliopitishwa kwenye nafasi ya  Mwenyekiti ni Isabellah Husein Kapera, Joan Ndaambuyo Minja na Lina Paul Kessy.Makamu Mwenyekiti ni Rose Kisiwa wakati wanaowania nafasi ya Katibu Mkuu ni Amina Ali Karuma na Cecilia Oreste Makafu.Mgombea pekee wa nafasi ya Katibu Msaidizi, Macky Righton Mhango naye amepita...

BONDIA WA TANZANIA MASHALI AMTWANGA MGANDA SEBYALA

  Bondia Thomas Mashali usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kumtupia makonde mazito na ya akili bondia Medy Sebyala wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati ambapo Mashali alishinda kwa point.   Pichani juu akiwa na Kenyella mkuu wa jeshi la polisi Kinondoni Picha ya kati akipambana vikali na mpinzani wake Medy Sebyala na picha ya chini akiwa na mashabiki wake akiwemo msanii wa muziki wa...

ABDALLAH YUSUPH WA CLUB YA LUGALO ATWAA UBINGWA WA NMB MWALIMU NYERERE MASTERS GOLF

Mshindi wa mashindano ya gofu ya kumuenzi Mwl Nyerere Abdallah Yusuph toka klabu Lugalo akiwa na mgeni rasmi Jaji Mark Bomani na  Mkurugenzi wa wateja wakubwa wa benki ya NMB Kees Verbeek baada ya kutangwa mshindi kwenye hafla iliyofanyika juzi viwanja vya Gymkhana Mashindando ya gofu ya kumuenzi Mwl JK Nyerere (Mwl Nyerere masters Golf) yaliyokuwa yanafadhiliwa na benki ya NMB  yaliyokuwa yanafanyika kwenye viwanja vya...

Friday, October 12, 2012

VPL KUENDELEA KUTIMUA VUMBI KESHO

Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom inaendelea kesho  kwa timu kumi kupambana kwenye viwanja vitano tofauti katika raundi ya saba ya ligi hiyo yenye timu 14.   Polisi Morogoro itaikaribisha Azam kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro wakati mwamuzi wa FIFA, Oden Mbaga atakuwa Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya kuchezesha mechi kati ya wenyeji Tanzania Prisons na Oljoro JKT.   Jijini Tanga, Simba itakuwa mgeni wa Coastal Union kwenye Uwanja wa Mkwakwani katika mechi itakayochezeshwa na mwamuzi Simon Mberwa...