Friday, September 7, 2012

MKATABA WA UDHAMINI KUSAINIWA SEPT 11

Mkataba wa udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambayo itadhaminiwa tena Vodacom utasainiwa Jumanne (Septemba 11 mwaka huu) kwenye ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
 
Taarifa rasmi juu ya muda wa kusaini na pande zitakazoshuhudia hafla hiyo itatolewa hivi karibuni.
 

0 comments: