Thursday, September 6, 2012

SIMBA NA YANGA ZAKABITHIWA VIFAA NA TBL

Viongozi wawakilishi wa Simba na Yanga wakiwa na Meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe na Mkurugenzi wa mashindano wa TFF na Saad Kawemba

Msemaji wan Yanga Louis Sendeu akipokea vifaa toka kwa meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe

Makamu M/kiti wa Simba Kaburu Nyange akipokea vifaa toka kwa meneja wa bia ya Kilimanjaro George Kavishe.

Hapa wameshika vifaa walivyokabidhiwa , aliyeshika mipira ni mkurugenzi wa mashindano wa TFF na Saad Kawemba

0 comments: