Monday, September 17, 2012

YANGA YAJIPANGA KUIKABILI MTIBWA


Baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiwa na kocha wao Tom Saintfiet  wakiwa wameshika mfano wa kombe baada ya kushinda michezo yao waliyokuwa wanacheza wakati wakiwa mazoezini uwanja wa Loyola Mabibo leo asubuhi

 TIMU ya Yanga ya Dar  es Salaam imesema kuwa nguvu zake zote wamezielekeza kwenye mchezo wa jumatano dhidi ya Mtibwa baada ya kutoka sare na Prison ya Mbeya kwenye mchezo wa ufunguzi wa pazia la VPL.
Yanga ambayo inafundishwa na Tom Saintfiet wamesema walifungwa kutoka na na uwanja kuwa mbaya na sehemu waliyofikia nayo ilikuwa mbaya sana.

Yanga ambayo leo wamefanya mazoezi uwanja wa Loyola Mabibo jijini Dar es salaam wamesema kesho wanaondoka kwenda Moro kupambana na Mtibwa

0 comments: