Sunday, June 10, 2012

Saitoti afariki dunia ajali



MWANASIASA mkongwe nchini Kenya George Saitoti  amefariki dunia katika ajali ya kelikopta yeye pamoja na naibu wake Orwa Ojode baada ya ndege yake kulipula jijini Nairobi.
Hadi sasa haijaweza kujulikana wazi kiini cha ajali hiyo ambayo imewastua wengi katika Ukanda wa Afrika Mashariki na kati kwani licha cha kuwa katika siasa za Kenya kwa muda mrefu lakini alikuwa ni miongoni mwa watru waliokuiwa wanapewa nafasi kubwa ya kumrithi Rais wa sasa wan chi hiyo, Mwai Kibaki.

Saitoti (66) miili ya waliokufa imepatikana na imehifadhiwa kwenye Hospitali kuu ya jijini Nairobi na uchunguzi juu ya ajali hiyo unaendelea hivi sasa kati ya maafisa wa anga na jeshi la polisi la Kenya.
Picha  ya Marehemu Saitoti na nyingine ni za ajali kama zilivyopatikana eneo la tukio.





0 comments: