Wednesday, July 18, 2012

Leo ni siku ya kuzaliwa Mzee Nelson Mandela

Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton akimtembelea Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela nyumbani kwake Qunu, katika picha hii iliyopigwa jana (Julai 17, 2012). Mandela anasherehekea kutimiza umri wa miaka 94 leo Julai 18. Picha: REUTERS

0 comments: