Tuesday, July 31, 2012

mashabiki kupiga kura kura hapa

Mashabiki wa soka kuanzia leo wanaweza kupiga kura kumchagua mchezaji bora wa mwaka 2012.

Utaribu wa kupiga kura ni kwamba, unatakiwa kuingia kwenye mtandao huu au blong nyingine ikiwemo fullshangwe, issamichuzi, jiachie,sportslady, kingkif, janejohn5,bongostarz pamoja, twitter na face book.


0 comments: