Monday, October 15, 2012

BONDIA WA TANZANIA MASHALI AMTWANGA MGANDA SEBYALA



 
Bondia Thomas Mashali usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kumtupia makonde mazito na ya akili bondia Medy Sebyala wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati ambapo Mashali alishinda kwa point.
 
Pichani juu akiwa na Kenyella mkuu wa jeshi la polisi Kinondoni

Picha ya kati akipambana vikali na mpinzani wake Medy Sebyala na picha ya chini akiwa na mashabiki wake akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Haule Profesa J, mlinzi wa kati wa mabingwa soka Tanzania Bara Simba, Juma Nyoso pamoja na kiungo Haruna Moshi 'Boban'.

0 comments: