This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Sunday, September 30, 2012

Yanga yameremeta Uwanja wa Taifa, yainyuka Lyon 3-1

Add caption Add caption kocha mpya wa Yanga raia wa Uholanzi, akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya African Lyon kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam leo. Katika mchezo mchezo wa leo Yanga ilishinda kwa mabao 3-1....

BONDIA FRANCIS CHEKA AMTWANGA KARAMA NYILAWILA KWA KO RAUNDI YA 6

BONDIA Francis Cheka jana usiku alimpiga kwa KO bondia Karama Nyilawila kwenye pambano la raundi 12 la UBO Cheka alimpiga Nyilawila kwa KO raundi ya sita alipomtwanga ngumi iliyompeleka chini na kumfanya refa kumwesabia lakini aliponyanyuka aliamua kuvua gloves kuahashiria amekubali matokeo. Cheka ambaye aliingia ulingoni bila mbwembwe alimwacha Nyilawila ajifurahishe kwa kurusha makonde ambayo alikuwa anayakwepa hivyo kumfanya pumzi kumwishia...

SIMBA NOMA YAUA IKIWA PUNGUFU

Wachezaji wa Simba wakishangilia bao alilofunga Sunzu kwenye mchezo uliochezwa jana uwanja wa Taifa na Simba kushinda bao 2-1 Mshambuliaji wa Simba Felex Sunzu akiwatoka mabeki wa Prison kwenye mchezo uliochezwa uwanja wa Taifa jana jioni Baadhi ya Mashabiki wa Simba waliokuwepo uwanjani TIMU ya Simba jana iliifunga Prison ya Mbeya bao 2-1 ikiwa pungufu baada ya beki wao Amir Maftah kuonyeshwa kadi nyekundu. Prison ndio walikuwa wa kwanza...

Saturday, September 29, 2012

AZAM YAIENGUA SIMBA KILELENI

Golikipa wa JKT RuvuShaban Dihile akidaka mpira uliokuwa unaelekea golini mwao huku beki Hussein  Dumba akimzuia John Bocco asilete madhara Mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara kati ya Azam na JKT Ruvu uliofanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam umemalizika kwa Azam kupata ushindi wa mabao 3-0 ambapo mabao ya washindi yakiwekwa nyanvuni na John Bocco akifunga bao la kwanza kwa njia ya mkwaju wa penati na mabao mengine...

KAMISAA WA SIMBA AUMIA, TFF YAMUENGUA LIGI KUU KWA KUWASILISHA RIPOTI YA POTOFU YA MCHEZO

Na Mahmoud Zubeiry KAMATI ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ilikutana jana (Septemba 25 mwaka huu) kupitia ripoti za mechi 21 za Ligi Kuu ya Vodacom ambazo zimeshachezwa mpaka sasa, na kumuondoa George Komba aliyekuwa Kamisaa kwenye mechi namba 20 kati ya Simba na Ruvu Shooting, upungufu uliojitokeza katika ripoti yake. Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania...